1860
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1830 |
Miaka ya 1840 |
Miaka ya 1850 |
Miaka ya 1860
| Miaka ya 1870
| Miaka ya 1880
| Miaka ya 1890
| ►
◄◄ |
◄ |
1856 |
1857 |
1858 |
1859 |
1860
| 1861
| 1862
| 1863
| 1864
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1860 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 25 Januari - Charles Curtis, Kaimu Rais wa Marekani
- 29 Januari - Anton Chekhov, mwandishi Mrusi
- 13 Machi - Hugo Wolf, mtunzi wa opera kutoka Austria
- 20 Mei - Eduard Buchner (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1907)
- 21 Mei - Willem Einthoven (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1924)
- 7 Julai - Gustav Mahler, mtunzi wa opera kutoka Austria
- 6 Septemba - Jane Addams (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1931)
- 13 Septemba - John J. Pershing, jenerali kutoka Marekani
- 23 Novemba - Karl Hjalmar Branting, mwanasiasa Mswidi na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1921
- 15 Desemba - Niels Ryberg Finsen (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1903)
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 23 Juni - Mtakatifu Yosefu Cafasso, padri nchini Italia
- 31 Julai - Mtakatifu Justino de Jacobis, askofu Mkatoliki kutoka Italia mmisionari nchini Ethiopia
- 21 Septemba - Arthur Schopenhauer, mwanafalsafa wa Ujerumani
